Sema kuna namna flani sahiv matapeli wamepungua eenh? au wamevumbua njia mpya??

omari omari

Mpiga Chabo
Jun 24, 2024
2
0
0
Wapo wengi juzi wananiambia eta kunamatajili shilika la uncf wanatoa msaada nailiupate inatakiwa ela ya kujiuunga
Ambayo ipo kwa viwangu VYA msaada mfano ukitoa
34000/=unapata 700,000/=
68000/=unapata 140,000/=
 

Haji Maduka

Mpiga Chabo
Jun 24, 2024
5
0
0
Eeeeee bwana hawa wajomba kuisha ni uongo aiseeee sasa hv wanambinu mbadala wanatumia ila niwashauri tu jaman tusifunguke sana maaana ukute tunao hapa wanatudekea tu ila kwakwel mungu awalaaaani sana walinipiga na kitu kizito mzeee sitokuja sahau mazeee.