Simba wamemtangaza Imani Kajula kuwa Mtendaji Mkuu mpya wa Simba SC. (CEO)

jamal

Mgeni
Nov 4, 2022
148
90
5
"Kuwa na technical director na makocha zaidi ya wanne huku ukiwa na wachezaji aina ya kibu denis haitasaidia kitu , timu ifanye usajili wa maana kununu quality player vinginevyo hatuwezi kutoboa kwa janjajanja hizi"
 
  • Like
Reactions: Brenda

Zawadi

Mgeni
Nov 4, 2022
41
17
5
Yaan C. E. O hata tweeter hakuwepo kwa dunia hii?. hadi hawafahamu ma C. E. O wenzake wa ball la Africa siyo leo, hii yote inaonesha Simba kwa sasa pesa kikwazo
 

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
1999-2003: Meneja Masoko CRDB 2003-06: Mkurugenzi wa Masoko na Biashara Tanzania Poastal Bank 2006-2013: Mkuu wa Masoko na Mawasiliano NMB 2013- mpaka sasa: Mkurugenzi (CEO) EAG Group Now: CEO Simba SC
 

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
CEO WA FOOTBALL had no Story of Football Background🙌Team kama Simba kwakweli Mpira wa Bongo unafikirisha Sana
 

Zaka

Mgeni
Dec 13, 2022
43
27
5
Imani Kajula alikuwa CEO wa EAG Group ambayo ni Kampuni ya Masoko na Mawasiliano ana uzoefu wa kufanya kazi katika masuala ya masoko na biashara kwa zaidi ya miaka 20.

Imani hadi anatangazwa kujiunga na Simba SC alikuwa CEO wa EAG Group kuanzia 2013, kabla ya hapo alikuwa Mkuu wa Masoko na Mawasiliano NMB (2006-2013), Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Tanzania Postal Bank (2003-2006) na alikuwa Meneja Masoko CRDB Bank (1999-2003).

CV