Tabiri Matokeo Ya Magoli Leo Ngao Ya Jamii Yanga SC vs SIMBA SC

Thomas YANGA

Mpiga Chabo
Aug 7, 2024
2
0
0
Leo kwa Mkapa kuna kazi moja tu ya kumaliza ubishi baina ya vigogo wawili wa soka nchini. Ndio kama kuna waliokuwa wakiona Agosti 8, siku yenyewe ndio hii wakati timu hizo zitakapovaana katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii. Lazima mtu apasuke katika mechi hii ili kupata mshindi wa kucheza fainali Jumapili.
YANGA BINGWA
Yanga vs kolozidad 3:1
 

Max

Mpiga Chabo
May 16, 2024
6
0
0
Kiukweli Leo derby ni ngumu sana lakini naiona simba kama inafungwa Yanga 3-Simba 1