Tuna mashaka na Vicent Aboubakar kwasababu ya umri lakini ni bora mtu mzima mwenye uwezo mkubwa

jamal

Mgeni
Nov 4, 2022
148
90
5
Ni bora mtu mzima mwenye uwezo na akili ya clinical finisher "killer" kuliko kuwa na rundo la vijana wasio na meno

Huyu Aboubakar na hilo jini lililotaka zamisha meli ya argentina ni madingi lkn yana uwezo wa hali ya juu

Nilichopenda kwa ten hag amesema hao kwake sio mipango yake ya muda mrefu hvyo target yake ya striker wa mfumo wake bado lko pale pale sokoni kutafuta striker

Nadhani Ten Hag anaamua kukubaliana na Veteran wa mkopo wenye uwezo na sio kasi kwa muda mfupi kuliko kukosa kabisa

Na hii yote ni kutokana na club kuwa na michakato ya kuuzwa hvyo mwekezaji wa sasa anayetaka kuuza hayuko tayari kutoa hela za usajili wakati yeye anataka kusepa
33b782ee-5e15-4995-9a87-dda73c755633.jpg
 

JohBwax

Mgeni
Nov 4, 2022
84
72
5
Ni bora mtu mzima mwenye uwezo na akili ya clinical finisher "killer" kuliko kuwa na rundo la vijana wasio na meno

Huyu Aboubakar na hilo jini lililotaka zamisha meli ya argentina ni madingi lkn yana uwezo wa hali ya juu

Nilichopenda kwa ten hag amesema hao kwake sio mipango yake ya muda mrefu hvyo target yake ya striker wa mfumo wake bado lko pale pale sokoni kutafuta striker

Nadhani Ten Hag anaamua kukubaliana na Veteran wa mkopo wenye uwezo na sio kasi kwa muda mfupi kuliko kukosa kabisa

Na hii yote ni kutokana na club kuwa na michakato ya kuuzwa hvyo mwekezaji wa sasa anayetaka kuuza hayuko tayari kutoa hela za usajili wakati yeye anataka kusepa
View attachment 1021
Huyu miaka yake halisi inaeza kua 40
 

kamakawa

Mgeni
Nov 4, 2022
60
57
5
Ni bora mtu mzima mwenye uwezo na akili ya clinical finisher "killer" kuliko kuwa na rundo la vijana wasio na meno

Huyu Aboubakar na hilo jini lililotaka zamisha meli ya argentina ni madingi lkn yana uwezo wa hali ya juu

Nilichopenda kwa ten hag amesema hao kwake sio mipango yake ya muda mrefu hvyo target yake ya striker wa mfumo wake bado lko pale pale sokoni kutafuta striker

Nadhani Ten Hag anaamua kukubaliana na Veteran wa mkopo wenye uwezo na sio kasi kwa muda mfupi kuliko kukosa kabisa

Na hii yote ni kutokana na club kuwa na michakato ya kuuzwa hvyo mwekezaji wa sasa anayetaka kuuza hayuko tayari kutoa hela za usajili wakati yeye anataka kusepa
View attachment 1021
Ni kweli ila kocha anamtaka kweli?
 

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
Ni bora mtu mzima mwenye uwezo na akili ya clinical finisher "killer" kuliko kuwa na rundo la vijana wasio na meno

Huyu Aboubakar na hilo jini lililotaka zamisha meli ya argentina ni madingi lkn yana uwezo wa hali ya juu

Nilichopenda kwa ten hag amesema hao kwake sio mipango yake ya muda mrefu hvyo target yake ya striker wa mfumo wake bado lko pale pale sokoni kutafuta striker

Nadhani Ten Hag anaamua kukubaliana na Veteran wa mkopo wenye uwezo na sio kasi kwa muda mfupi kuliko kukosa kabisa

Na hii yote ni kutokana na club kuwa na michakato ya kuuzwa hvyo mwekezaji wa sasa anayetaka kuuza hayuko tayari kutoa hela za usajili wakati yeye anataka kusepa
View attachment 1021
Sawa sawa.Mimi kiukweli mpaka sasa nimeridhika na timu kwa jinsi inacheza tatizo lipo kwenye kufunga magoli tukimpata huyu mwamba wa kiholanzi nafikiri tatizo litapungua kama siyo kuisha kabisa,naamini sana mipango yake.Nakumbuka alimchukua Sebastian Haller kutoka West Ham alikokuwa ameflop akamfanya kuwa mshambuliaji hatari sana.
 

McRay

Mgeni
Nov 4, 2022
185
131
5
Ni bora mtu mzima mwenye uwezo na akili ya clinical finisher "killer" kuliko kuwa na rundo la vijana wasio na meno

Huyu Aboubakar na hilo jini lililotaka zamisha meli ya argentina ni madingi lkn yana uwezo wa hali ya juu

Nilichopenda kwa ten hag amesema hao kwake sio mipango yake ya muda mrefu hvyo target yake ya striker wa mfumo wake bado lko pale pale sokoni kutafuta striker

Nadhani Ten Hag anaamua kukubaliana na Veteran wa mkopo wenye uwezo na sio kasi kwa muda mfupi kuliko kukosa kabisa

Na hii yote ni kutokana na club kuwa na michakato ya kuuzwa hvyo mwekezaji wa sasa anayetaka kuuza hayuko tayari kutoa hela za usajili wakati yeye anataka kusepa
View attachment 1021
Huyu mwamba analijua sana goli labda changamoto ni umri
 

sharon

Mgeni
Nov 4, 2022
105
89
5
Ni bora mtu mzima mwenye uwezo na akili ya clinical finisher "killer" kuliko kuwa na rundo la vijana wasio na meno

Huyu Aboubakar na hilo jini lililotaka zamisha meli ya argentina ni madingi lkn yana uwezo wa hali ya juu

Nilichopenda kwa ten hag amesema hao kwake sio mipango yake ya muda mrefu hvyo target yake ya striker wa mfumo wake bado lko pale pale sokoni kutafuta striker

Nadhani Ten Hag anaamua kukubaliana na Veteran wa mkopo wenye uwezo na sio kasi kwa muda mfupi kuliko kukosa kabisa

Na hii yote ni kutokana na club kuwa na michakato ya kuuzwa hvyo mwekezaji wa sasa anayetaka kuuza hayuko tayari kutoa hela za usajili wakati yeye anataka kusepa
View attachment 1021
Hapa watazingua sana
 

Mgunda Zone

Mgeni
Nov 4, 2022
83
88
5
Ni bora mtu mzima mwenye uwezo na akili ya clinical finisher "killer" kuliko kuwa na rundo la vijana wasio na meno

Huyu Aboubakar na hilo jini lililotaka zamisha meli ya argentina ni madingi lkn yana uwezo wa hali ya juu

Nilichopenda kwa ten hag amesema hao kwake sio mipango yake ya muda mrefu hvyo target yake ya striker wa mfumo wake bado lko pale pale sokoni kutafuta striker

Nadhani Ten Hag anaamua kukubaliana na Veteran wa mkopo wenye uwezo na sio kasi kwa muda mfupi kuliko kukosa kabisa

Na hii yote ni kutokana na club kuwa na michakato ya kuuzwa hvyo mwekezaji wa sasa anayetaka kuuza hayuko tayari kutoa hela za usajili wakati yeye anataka kusepa
View attachment 1021
Ten Hag bwana ni kocha najaribu kuwaza jinsi alipoteza zile game 2 za mwanzo na jinsi timu inavyocheza kwa sasa aise hapa kuna kocha mzuri