Tusanue Hapa Utapeli Mpya Unaoujua Tujilinde Nao Mapemaaa

Imma MK

Mgeni
May 2, 2024
16
5
5
Hawa wa kusema ana kuunganisha na malaya mkoa wowote uliopo nao ni utapeli,Alafu kuna hii Aviator prediction nayo ni utapeli tu and most social businesses ni utapeli tu
 

Deejayfox

Mpiga Chabo
Aug 15, 2024
1
0
0
Mambo vipi wanakijiweni... Kumekua na matukio mbalimbali ambayo yanayotokea yanayohusisha Utapeli na unaweza kuwa ni miongoni mwa wale ambao wamekutana na changamoto hizi za Utapeli

Msanue mwana Kijiweni mwenzako hapa Tukio Gani Jipya la Utapeli unalolifahamu na uliliepuka vipi?
Utasikia Mimi mwalimu wa Mtoto wako hile Ada anayo daiwa tuma kwenye namba yangu ele namba ya shuleni pale saivi aipatikani umesikia mzazi wa Juma usi sa au ikifika SAA 6 we nitumie nitakuwa nimetoka darasani
 

Thabit Njapuka

Mpiga Chabo
Jul 10, 2024
1
0
0
Upo karibu na wakala hapo ukijibu ndio anakuambia mpe simu niongee nae ukimpa umeibiwa. Cha msingi wewe mwambie tu naijua iyooo kinachofuata ni matusi.
 

nelly

Mpiga Chabo
Sep 11, 2024
3
0
0
Mambo vipi wanakijiweni... Kumekua na matukio mbalimbali ambayo yanayotokea yanayohusisha Utapeli na unaweza kuwa ni miongoni mwa wale ambao wamekutana na changamoto hizi za Utapeli

Msanue mwana Kijiweni mwenzako hapa Tukio Gani Jipya la Utapeli unalolifahamu na uliliepuka vipi?
Daaa aisee me nilitapeliwa kwasababu nilikua Bado Sina uelewa na mambo haya na walikua wakinipa maelekezo kabisa na mm bila kujitambua nilifanya na kwabahati mbaya kabisa shiling elfu kumi ilienda na nilipojaribu kuwapigia simu aisee nilikua nilikipewa matusi tu lakin Hadi Leo hii ninauelewa na matapeli hao siwez kudanganywa kama nilivotapeliwa
 

nelly

Mpiga Chabo
Sep 11, 2024
3
0
0
Kuna hii kampuni inayojiita UNICEF foundation aisee Kila mtandao wakijamii wametamba Sanaa kusambaza link zao unatumiwa kias Cha fedha kama sh.2500000 ,halaf unaambiwa ulipie ada ya sh.250000 ili upate promotion hiyo na ukisha lipia ada hiyo aiseee sjui utamlilia Nan Kwa kutapeliwa