Unamtania Kwa Jina Gani Rafiki Yako Ambaye Hashabikii Timu Unayoishabikia?

Hammy36

Administrator
Jan 17, 2023
56
54
5
Dar Es Salaam
Tumezoea kwamba kwa Tanzania kuna majina mengi sana ambayo yapo na yanatumiwa na mashabiki japokua sio rasmi sana lakini huwa ni kama njia mojawapo ya utani kwao. Na mara nyingi ukisikia jina hilo unajua kabisa hapa kamaanisha timu flani au anamtania shabiki wa timu flani

Unamtania Kwa Jina Gani Rafiki Yako Ambaye Hashabikii Timu Unayoishabikia?
 
  • Like
Reactions: Don Mselle

sureboy

Mpiga Chabo
Jun 23, 2024
1
0
0
Tumezoea kwamba kwa Tanzania kuna majina mengi sana ambayo yapo na yanatumiwa na mashabiki japokua sio rasmi sana lakini huwa ni kama njia mojawapo ya utani kwao. Na mara nyingi ukisikia jina hilo unajua kabisa hapa kamaanisha timu flani au anamtania shabiki wa timu flani

Unamtania Kwa Jina Gani Rafiki Yako Ambaye Hashabikii Timu Unayoishabikia?
Zuhura 😂🤝
 

Owen255

Mpiga Chabo
Aug 6, 2024
1
0
0
Tumezoea kwamba kwa Tanzania kuna majina mengi sana ambayo yapo na yanatumiwa na mashabiki japokua sio rasmi sana lakini huwa ni kama njia mojawapo ya utani kwao. Na mara nyingi ukisikia jina hilo unajua kabisa hapa kamaanisha timu flani au anamtania shabiki wa timu flani

Unamtania Kwa Jina Gani Rafiki Yako Ambaye Hashabikii Timu Unayoishabikia?
huwa namwita KIPOPOMA🫰😂
 

Gking

Mpiga Chabo
Aug 6, 2024
3
0
0
Tumezoea kwamba kwa Tanzania kuna majina mengi sana ambayo yapo na yanatumiwa na mashabiki japokua sio rasmi sana lakini huwa ni kama njia mojawapo ya utani kwao. Na mara nyingi ukisikia jina hilo unajua kabisa hapa kamaanisha timu flani au anamtania shabiki wa timu flani

Unamtania Kwa Jina Gani Rafiki Yako Ambaye Hashabikii Timu Unayoishabikia?
Huwa na waita mabunyenye 😂