Us Monastir walichokifanya wameamua kumuachia Yanga Mpira au cheze wao wamejisemea kuwa tunataka point 3 muhimu nyumbani.
Yanga anatawala vipindi vyote Ila anakufa mbili bila kilichowaumiza Yanga nikile kile kinazitesa Team za ukanda huu magoli yote Ni ya vichwa yanafungwa mazingira ambayo utaulaumu ukuta wa Yanga.
Pia Yanga wanaupungufu wa siku zote mawinga Yanga Hana watu wa pembeni hata kwa hapa Tanzania akiumia Morrison basi Yanga pembeni hawi vizuri kabisa.
But we looked sharp and confident, umaliziaji tuu ila box lao tumefika like 3 times, good chances, hizi games zinahitaji kuwa clinical sana
Kazi waliyo nayo Yanga nikama Pacha wake Simba wahakikishe Taifa wanapata point Tisa zote.

Yanga anatawala vipindi vyote Ila anakufa mbili bila kilichowaumiza Yanga nikile kile kinazitesa Team za ukanda huu magoli yote Ni ya vichwa yanafungwa mazingira ambayo utaulaumu ukuta wa Yanga.
Pia Yanga wanaupungufu wa siku zote mawinga Yanga Hana watu wa pembeni hata kwa hapa Tanzania akiumia Morrison basi Yanga pembeni hawi vizuri kabisa.
But we looked sharp and confident, umaliziaji tuu ila box lao tumefika like 3 times, good chances, hizi games zinahitaji kuwa clinical sana
Kazi waliyo nayo Yanga nikama Pacha wake Simba wahakikishe Taifa wanapata point Tisa zote.
