Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba kuhusu Clatous Chota Chama

Bakari

Mgeni
May 27, 2024
27
31
5
Triple C bado ni mchezaji mzuri sana na kwa timu inayohitaji makombe ama kuwa na kiu ya mafanikio haiwezi kumtema mchezaji kama Chama.


Maneno ya mashabiki kuwa Simba iachane na Chama akaangalie maisha mahali pengine ni maneno ya watu ambao wamejiunga kwenye tasnia ya soka miaka ya hivi karibuni baada ya kukosa burudani nyingine.

Maana miaka ya nyuma mbali na footbal tuliweza kuupenda sana mchezo wa ngumi, enzi hizo mpambano ulikuwa kati ya marehemu Stanley Mabesi vs marehemu Charles Libondo Mawe.Ilifikia hatua hadi paka akawa anavuka kwenye ulingo jamaa walivyokuwa wanapaniana.


Baadae akaja Rashid Matumla vs mkurya mmoja nimemsahau jina, aisee ilikuwa back to back, achilia mbali ngumi za ridhaa tuliweza kuwaona akina Makoye Isangura, Mzonge Hassan, Michael Yombayomba, Benjamin Mwangata nk.


Sasa vijana hawa wa siku hizi wakipenda kidogo basi mchezaji akizingua wanamtukana, leo Ahmed Ally ametoa taarifa akisema viongozi wanapambana kuongea na Chama lakini lolote watarajie, ina maana hata Thank you itakuwepo.


Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba:

Katika maisha ya mpira, vilabu kugombea mchezaji ni jambo la kawaida sana, huyu Triple C ambaye ameiletea mafanikio makubwa Simba kwa sasa moyo na akili yake haitaki tena kutumikia Simba.

Akikumbuka namna anavyolalamikiwa hachezi vizuri vs na Yanga, akikumbuka anavyosimamishwa na wakati mwingine anatukaniwa wazazi wake na kubwa zaidi akiwakumbuka washkaji zake Jonas Mkude na Haji Manara anaona bora awafuate huko.

Mpango wa Chama kwenda kwa hao wanaomshawishi ulianza kipindi kile aliposimamishwa kwa kutofautiana na Benchika.

Kiufupi Chama kakubali kushawishiwa na Haji Manara na Manara amepewa ofa ya kuzunguka bara lote la ulaya kwa kazi nzuri anayowafanyia wanayanga dhidi ya Simba.

Sasa viongozi wa Simba msiogope kuwaambia wana Simba kuwa Chama hana tena mapenzi na sisi, wana Simba wameshakubali matokeo.

Simba iliwahi kukumbwa na misukosuko kama hiyo ya kuondokewa na wachezaji wazuri aina ya Chama.



Nani hamkumbuki Deo Njohole alivyotufanyia? Nani hamkumbuki marehemu Method Mogella 'Fundi' ambaye Chama hamfikii kabisa kiungo huyo wa chini, nani hajui sakata la marehemu Hamis Gaga ama Gagarino, mnakumbuka ishu ya Victor Costa Nyumba? Nani hakumbuki ishu ya Juma Kaseja.



Hata Yanga tumewahi kuwafanyia unyama huo, tuliwahi kuwaumiza kwa kumsajili Omary Hussein Kevin Keegan, tukashangalia kuanzia uwanja wa shamba la bibi hadi mitaa ya keko tukiimba Omary Hussein Kevin Keegan.Nakumbuka kabisa nikiwa na umri wa miaka 9 tu.



Kwa hiyo kama Chama kama amewazidishia mzigo mshukuruni kwa kazi nzuri aliyoifanyia klabu na maisha yaendelee.



Yupo kiungo fundi anafanana kabisa na Chama anaitwa Maroun Tchakei, huyu mwanaume sio wa kawaida, kwanza yuko strong, anajua mpira, ana nguvu, hana uoga wa kutumbukiza mguu kama Chama, Chama kimguu chake anakilindi kama nini.



Waambieni ukweli wana Simba kuwa Chama hatunaye basi, yeye kwenda Yanga ameona kuna fursa mwacheni aende.
 
  • Like
Reactions: Mpemba and Mwambeta
Jun 11, 2024
23
13
5
Mimi
Triple C bado ni mchezaji mzuri sana na kwa timu inayohitaji makombe ama kuwa na kiu ya mafanikio haiwezi kumtema mchezaji kama Chama.


Maneno ya mashabiki kuwa Simba iachane na Chama akaangalie maisha mahali pengine ni maneno ya watu ambao wamejiunga kwenye tasnia ya soka miaka ya hivi karibuni baada ya kukosa burudani nyingine.

Maana miaka ya nyuma mbali na footbal tuliweza kuupenda sana mchezo wa ngumi, enzi hizo mpambano ulikuwa kati ya marehemu Stanley Mabesi vs marehemu Charles Libondo Mawe.Ilifikia hatua hadi paka akawa anavuka kwenye ulingo jamaa walivyokuwa wanapaniana.


Baadae akaja Rashid Matumla vs mkurya mmoja nimemsahau jina, aisee ilikuwa back to back, achilia mbali ngumi za ridhaa tuliweza kuwaona akina Makoye Isangura, Mzonge Hassan, Michael Yombayomba, Benjamin Mwangata nk.


Sasa vijana hawa wa siku hizi wakipenda kidogo basi mchezaji akizingua wanamtukana, leo Ahmed Ally ametoa taarifa akisema viongozi wanapambana kuongea na Chama lakini lolote watarajie, ina maana hata Thank you itakuwepo.


Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba:

Katika maisha ya mpira, vilabu kugombea mchezaji ni jambo la kawaida sana, huyu Triple C ambaye ameiletea mafanikio makubwa Simba kwa sasa moyo na akili yake haitaki tena kutumikia Simba.

Akikumbuka namna anavyolalamikiwa hachezi vizuri vs na Yanga, akikumbuka anavyosimamishwa na wakati mwingine anatukaniwa wazazi wake na kubwa zaidi akiwakumbuka washkaji zake Jonas Mkude na Haji Manara anaona bora awafuate huko.

Mpango wa Chama kwenda kwa hao wanaomshawishi ulianza kipindi kile aliposimamishwa kwa kutofautiana na Benchika.

Kiufupi Chama kakubali kushawishiwa na Haji Manara na Manara amepewa ofa ya kuzunguka bara lote la ulaya kwa kazi nzuri anayowafanyia wanayanga dhidi ya Simba.

Sasa viongozi wa Simba msiogope kuwaambia wana Simba kuwa Chama hana tena mapenzi na sisi, wana Simba wameshakubali matokeo.

Simba iliwahi kukumbwa na misukosuko kama hiyo ya kuondokewa na wachezaji wazuri aina ya Chama.



Nani hamkumbuki Deo Njohole alivyotufanyia? Nani hamkumbuki marehemu Method Mogella 'Fundi' ambaye Chama hamfikii kabisa kiungo huyo wa chini, nani hajui sakata la marehemu Hamis Gaga ama Gagarino, mnakumbuka ishu ya Victor Costa Nyumba? Nani hakumbuki ishu ya Juma Kaseja.



Hata Yanga tumewahi kuwafanyia unyama huo, tuliwahi kuwaumiza kwa kumsajili Omary Hussein Kevin Keegan, tukashangalia kuanzia uwanja wa shamba la bibi hadi mitaa ya keko tukiimba Omary Hussein Kevin Keegan.Nakumbuka kabisa nikiwa na umri wa miaka 9 tu.



Kwa hiyo kama Chama kama amewazidishia mzigo mshukuruni kwa kazi nzuri aliyoifanyia klabu na maisha yaendelee.



Yupo kiungo fundi anafanana kabisa na Chama anaitwa Maroun Tchakei, huyu mwanaume sio wa kawaida, kwanza yuko strong, anajua mpira, ana nguvu, hana uoga wa kutumbukiza mguu kama Chama, Chama kimguu chake anakilindi kama nini.



Waambieni ukweli wana Simba kuwa Chama hatunaye basi, yeye kwenda Yanga ameona kuna fursa mwacheni aende.
Nawaambia tu wasikose kumpa thank you chama kama kweli wapo siriaz kwa msimu ujao
 
  • Like
Reactions: Mpemba

UNDISPUTED

Mgeni
Jun 19, 2024
2
2
5
Farewell kwa Chama Tena ukiangalia anaenda kwa mpinzani ni uchungu mzito tutapitia wanasimba. It's better aondoke kwaajili ya future ya timu japo ingebidi tusiwe tunamuona akikiwasha hapahapa Tanzania. It's so painful asee
 
  • Like
Reactions: Mpemba and Mwambeta

hajje

Mgeni
Jun 24, 2024
3
1
5
Sure mchezaji ye anachotak hela unawza kumbakish ila ikawa Kam unachezea shilling choon ikizam haipo hyo.
Thank u chama triple c 💪💪
 
  • Like
Reactions: Mpemba

BROKEN KID

Mpiga Chabo
Jun 22, 2024
1
1
0
Acha aondoke watakuja wengine watafanya vizuri zaid yake ronaldo aliondoka madrid lakin sasaiv wapo watu kama wakina vini jr,jude bellingham na kilyan mbappe''
 
  • Like
Reactions: Mpemba

Nasibu

Mpiga Chabo
Jun 22, 2024
1
0
0
Ni swala la siku nyingi hilo linajulikana japo roho inauma kiukweli Chama sikuhizi Kawa duka sit sitokaa nikasahau maneno ya Hans pop kipindikile akitoa maneno ya tuhuma juu ya mchezaji huyuu ifike hatua viongozi waoneshe uimara wao kwenye kuwa mikataba na mikata iwanyooshe vzr tu Hawa wageni waliweza kwa okwi akaenda zake na hajawahi na hajawahi kuwa wa hovyo kama alivyo huyu ifike hatua nasisi tujione na thamani kuliko yeye
 

George Bwire

Mpiga Chabo
Jun 23, 2024
4
0
0
Triple C bado ni mchezaji mzuri sana na kwa timu inayohitaji makombe ama kuwa na kiu ya mafanikio haiwezi kumtema mchezaji kama Chama.


Maneno ya mashabiki kuwa Simba iachane na Chama akaangalie maisha mahali pengine ni maneno ya watu ambao wamejiunga kwenye tasnia ya soka miaka ya hivi karibuni baada ya kukosa burudani nyingine.

Maana miaka ya nyuma mbali na footbal tuliweza kuupenda sana mchezo wa ngumi, enzi hizo mpambano ulikuwa kati ya marehemu Stanley Mabesi vs marehemu Charles Libondo Mawe.Ilifikia hatua hadi paka akawa anavuka kwenye ulingo jamaa walivyokuwa wanapaniana.


Baadae akaja Rashid Matumla vs mkurya mmoja nimemsahau jina, aisee ilikuwa back to back, achilia mbali ngumi za ridhaa tuliweza kuwaona akina Makoye Isangura, Mzonge Hassan, Michael Yombayomba, Benjamin Mwangata nk.


Sasa vijana hawa wa siku hizi wakipenda kidogo basi mchezaji akizingua wanamtukana, leo Ahmed Ally ametoa taarifa akisema viongozi wanapambana kuongea na Chama lakini lolote watarajie, ina maana hata Thank you itakuwepo.


Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba:

Katika maisha ya mpira, vilabu kugombea mchezaji ni jambo la kawaida sana, huyu Triple C ambaye ameiletea mafanikio makubwa Simba kwa sasa moyo na akili yake haitaki tena kutumikia Simba.

Akikumbuka namna anavyolalamikiwa hachezi vizuri vs na Yanga, akikumbuka anavyosimamishwa na wakati mwingine anatukaniwa wazazi wake na kubwa zaidi akiwakumbuka washkaji zake Jonas Mkude na Haji Manara anaona bora awafuate huko.

Mpango wa Chama kwenda kwa hao wanaomshawishi ulianza kipindi kile aliposimamishwa kwa kutofautiana na Benchika.

Kiufupi Chama kakubali kushawishiwa na Haji Manara na Manara amepewa ofa ya kuzunguka bara lote la ulaya kwa kazi nzuri anayowafanyia wanayanga dhidi ya Simba.

Sasa viongozi wa Simba msiogope kuwaambia wana Simba kuwa Chama hana tena mapenzi na sisi, wana Simba wameshakubali matokeo.

Simba iliwahi kukumbwa na misukosuko kama hiyo ya kuondokewa na wachezaji wazuri aina ya Chama.



Nani hamkumbuki Deo Njohole alivyotufanyia? Nani hamkumbuki marehemu Method Mogella 'Fundi' ambaye Chama hamfikii kabisa kiungo huyo wa chini, nani hajui sakata la marehemu Hamis Gaga ama Gagarino, mnakumbuka ishu ya Victor Costa Nyumba? Nani hakumbuki ishu ya Juma Kaseja.



Hata Yanga tumewahi kuwafanyia unyama huo, tuliwahi kuwaumiza kwa kumsajili Omary Hussein Kevin Keegan, tukashangalia kuanzia uwanja wa shamba la bibi hadi mitaa ya keko tukiimba Omary Hussein Kevin Keegan.Nakumbuka kabisa nikiwa na umri wa miaka 9 tu.



Kwa hiyo kama Chama kama amewazidishia mzigo mshukuruni kwa kazi nzuri aliyoifanyia klabu na maisha yaendelee.



Yupo kiungo fundi anafanana kabisa na Chama anaitwa Maroun Tchakei, huyu mwanaume sio wa kawaida, kwanza yuko strong, anajua mpira, ana nguvu, hana uoga wa kutumbukiza mguu kama Chama, Chama kimguu chake anakilindi kama nini.



Waambieni ukweli wana Simba kuwa Chama hatunaye basi, yeye kwenda Yanga ameona kuna fursa mwacheni aende.
 

George Bwire

Mpiga Chabo
Jun 23, 2024
4
0
0
Ni kweli haipingiki kuwa Tripple C ni bora na muhimu kwa club ya Simba,lakini kwa umri wake na pesa anayoihitaji heri achwe akasepe na kiasi hicho anachokihitaji kipelekwe kwa mchezaji bora na ambaye bado ana energy ya kuipambania team.

Vilevile,hizo nyodo zake za kuidengulia team kila mwisho wa msimu actually sio za kiuungwana.Binafsi naona ili ajifunze acha achwe ili ajifunze kwani hata akichukuliwa hana impact kubwa kwa Simba ukilinganisha na age yake ya 32+ na ni kuwafundisha tabia za namna hiyo hiyo waenzake waliopo na wao kuona kwamba hata ukidengua unabembelezwa.In short AACHWE APAMBANE NA HALI YAKE
 
May 2, 2024
7
2
5
Triple C bado ni mchezaji mzuri sana na kwa timu inayohitaji makombe ama kuwa na kiu ya mafanikio haiwezi kumtema mchezaji kama Chama.


Maneno ya mashabiki kuwa Simba iachane na Chama akaangalie maisha mahali pengine ni maneno ya watu ambao wamejiunga kwenye tasnia ya soka miaka ya hivi karibuni baada ya kukosa burudani nyingine.

Maana miaka ya nyuma mbali na footbal tuliweza kuupenda sana mchezo wa ngumi, enzi hizo mpambano ulikuwa kati ya marehemu Stanley Mabesi vs marehemu Charles Libondo Mawe.Ilifikia hatua hadi paka akawa anavuka kwenye ulingo jamaa walivyokuwa wanapaniana.


Baadae akaja Rashid Matumla vs mkurya mmoja nimemsahau jina, aisee ilikuwa back to back, achilia mbali ngumi za ridhaa tuliweza kuwaona akina Makoye Isangura, Mzonge Hassan, Michael Yombayomba, Benjamin Mwangata nk.


Sasa vijana hawa wa siku hizi wakipenda kidogo basi mchezaji akizingua wanamtukana, leo Ahmed Ally ametoa taarifa akisema viongozi wanapambana kuongea na Chama lakini lolote watarajie, ina maana hata Thank you itakuwepo.


Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba:

Katika maisha ya mpira, vilabu kugombea mchezaji ni jambo la kawaida sana, huyu Triple C ambaye ameiletea mafanikio makubwa Simba kwa sasa moyo na akili yake haitaki tena kutumikia Simba.

Akikumbuka namna anavyolalamikiwa hachezi vizuri vs na Yanga, akikumbuka anavyosimamishwa na wakati mwingine anatukaniwa wazazi wake na kubwa zaidi akiwakumbuka washkaji zake Jonas Mkude na Haji Manara anaona bora awafuate huko.

Mpango wa Chama kwenda kwa hao wanaomshawishi ulianza kipindi kile aliposimamishwa kwa kutofautiana na Benchika.

Kiufupi Chama kakubali kushawishiwa na Haji Manara na Manara amepewa ofa ya kuzunguka bara lote la ulaya kwa kazi nzuri anayowafanyia wanayanga dhidi ya Simba.

Sasa viongozi wa Simba msiogope kuwaambia wana Simba kuwa Chama hana tena mapenzi na sisi, wana Simba wameshakubali matokeo.

Simba iliwahi kukumbwa na misukosuko kama hiyo ya kuondokewa na wachezaji wazuri aina ya Chama.



Nani hamkumbuki Deo Njohole alivyotufanyia? Nani hamkumbuki marehemu Method Mogella 'Fundi' ambaye Chama hamfikii kabisa kiungo huyo wa chini, nani hajui sakata la marehemu Hamis Gaga ama Gagarino, mnakumbuka ishu ya Victor Costa Nyumba? Nani hakumbuki ishu ya Juma Kaseja.



Hata Yanga tumewahi kuwafanyia unyama huo, tuliwahi kuwaumiza kwa kumsajili Omary Hussein Kevin Keegan, tukashangalia kuanzia uwanja wa shamba la bibi hadi mitaa ya keko tukiimba Omary Hussein Kevin Keegan.Nakumbuka kabisa nikiwa na umri wa miaka 9 tu.



Kwa hiyo kama Chama kama amewazidishia mzigo mshukuruni kwa kazi nzuri aliyoifanyia klabu na maisha yaendelee.



Yupo kiungo fundi anafanana kabisa na Chama anaitwa Maroun Tchakei, huyu mwanaume sio wa kawaida, kwanza yuko strong, anajua mpira, ana nguvu, hana uoga wa kutumbukiza mguu kama Chama, Chama kimguu chake anakilindi kama nini.



Waambieni ukweli wana Simba kuwa Chama hatunaye basi, yeye kwenda Yanga ameona kuna fursa mwacheni aende.
Namkumbuka kipindi yanga wanamsajiri senzo ni baada ya Simba kumchukua Morrison ambaye kwa kipindi kile alikuwa msaada sana kwa Yanga ✌️ nikawambia yanga wametumia akili sana kumchukua senzo ambaye alikuwa analeta utulivu wa management ya Simba kipindi kile akahama nayo mpaka yanga ......🧵🧵
Unajua Kuna kipindi yanga walishindwa kabisa na Simba nje ya uwanjani kabla hâta ya kwenye pitch, sababu ilikuwa Simba kuwa na manara ambaye ni motivation speaker na influencer mkubwa... ✍️ Hakuna MTU anaweza akaacha kusikiliza mahojiano yanayomhusisha manara ✌️Huyo naye yanga wakamchukua,,,,, 🧵🧵

Simba wakamuacha mkude bila ya kumpa heshima aliyostahili kwa kuitumikia kwa zaidi ya miaka kumi ✌️bila hâta kuwa na mahitaji naye yanga wakamchukua 🧵
Leo hii CHAMA kawafanyia makubwa kwa zaidi ya miaka mitatu lakini, namna ata mashabiki wanavoreact kwenye post zinazomhusu ni very negative mpaka unashangaa Leo hiihii wamesahau alichowafanyia🤔 🧵

✍️Yote Tisa kumi ni Simba wenyewe wanashindwa kudetermine kiwango Cha Mchezaji kiasi kwamba wanachelewa sana kufanya maamuzi na hii ni kwasababu hawana namna nzuri ya kuskauti wachezaji wap ya✌️🤔🧵

Note; No matter how important the player have in the squad, muda ikifika Ambao expectations zinabecome less than reality ✌️ player have to be suspended na nafasi yake aingie mwingine 😁🧵
Siyo lazima Simba ijayo iendelee kucheza kama ilivokuwa inacheza enzi za CHAMA ,no Cha msingi achievement of goals ✍️🧵
Asante 🙏 kwa kusoma mpaka wisho 🤝 nifolow Facebook 🧵👉👉👉👉👉
 

MR. VIP

Mgeni
May 17, 2024
22
3
5
Hakuna mchezaji wa kudumu hiyo sio klabu ya familia. Mchezi huja na kuondoka.. Chama asipoenda timu nyingine ipo siku atastaafu na hato cheza mpira...
Hii inamaana kinachouma wanasimba sio kuondoka kwa chama ila ni chama kusemekana anaenda yanga..
Ikiwa ni hivyo basi uongozi wa simba usifanye maumivu yazidi bali uyawaishe umpe thank you na maisha yaendelee.
Wachezaji ni wengi waliopita kwenye klabu hii na bado ipo na itaendelea kuwepo.

Kikubwa wasikosee kwenye usajiri wa msimu huu
 
  • Like
Reactions: AhmadaO

AhmadaO

Mpiga Chabo
Jun 25, 2024
3
0
0
Triple C bado ni mchezaji mzuri sana na kwa timu inayohitaji makombe ama kuwa na kiu ya mafanikio haiwezi kumtema mchezaji kama Chama.


Maneno ya mashabiki kuwa Simba iachane na Chama akaangalie maisha mahali pengine ni maneno ya watu ambao wamejiunga kwenye tasnia ya soka miaka ya hivi karibuni baada ya kukosa burudani nyingine.

Maana miaka ya nyuma mbali na footbal tuliweza kuupenda sana mchezo wa ngumi, enzi hizo mpambano ulikuwa kati ya marehemu Stanley Mabesi vs marehemu Charles Libondo Mawe.Ilifikia hatua hadi paka akaway anavuka kwenye ulingo jamaa walivyokuwa wanapaniana.


Baadae akaja Rashid Matumla vs mkurya mmoja nimemsahau jina, aisee ilikuwa back to back, achilia mbali ngumi za ridhaa tuliweza kuwaona akina Makoye Isangura, Mzonge Hassan, Michael Yombayomba, Benjamin Mwangata nk.


Sasa vijana hawa wa siku hizi wakipenda kidogo basi mchezaji akizingua wanamtukana, leo Ahmed Ally ametoa taarifa akisema viongozi wanapambana kuongea na Chama lakini lolote watarajie, ina maana hata Thank you itakuwepo.


Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba:

Katika maisha ya mpira, vilabu kugombea mchezaji ni jambo la kawaida sana, huyu Triple C ambaye ameiletea mafanikio makubwa Simba kwa sasa moyo na akili yake haitaki tena kutumikia Simba.

Akikumbuka namna anavyolalamikiwa hachezi vizuri vs na Yanga, akikumbuka anavyosimamishwa na wakati mwingine anatukaniwa wazazi wake na kubwa zaidi akiwakumbuka washkaji zake Jonas Mkude na Haji Manara anaona bora awafuate huko.

Mpango wa Chama kwenda kwa hao wanaomshawishi ulianza kipindi kile aliposimamishwa kwa kutofautiana na Benchika.

Kiufupi Chama kakubali kushawishiwa na Haji Manara na Manara amepewa ofa ya kuzunguka bara lote la ulaya kwa kazi nzuri anayowafanyia wanayanga dhidi ya Simba.

Sasa viongozi wa Simba msiogope kuwaambia wana Simba kuwa Chama hana tena mapenzi na sisi, wana Simba wameshakubali matokeo.

Simba iliwahi kukumbwa na misukosuko kama hiyo ya kuondokewa na wachezaji wazuri aina ya Chama.



Nani hamkumbuki Deo Njohole alivyotufanyia? Nani hamkumbuki marehemu Method Mogella 'Fundi' ambaye Chama hamfikii kabisa kiungo huyo wa chini, nani hajui sakata la marehemu Hamis Gaga ama Gagarino, mnakumbuka ishu ya Victor Costa Nyumba? Nani hakumbuki ishu ya Juma Kaseja.



Hata Yanga tumewahi kuwafanyia unyama huo, tuliwahi kuwaumiza kwa kumsajili Omary Hussein Kevin Keegan, tukashangalia kuanzia uwanja wa shamba la bibi hadi mitaa ya keko tukiimba Omary Hussein Kevin Keegan.Nakumbuka kabisa nikiwa na umri wa miaka 9 tu.



Kwa hiyo kama Chama kama amewazidishia mzigo mshukuruni kwa kazi nzuri aliyoifanyia klabu na maisha yaendelee.



Yupo kiungo fundi anafanana kabisa na Chama anaitwa Maroun Tchakei, huyu mwanaume sio wa kawaida, kwanza yuko strong, anajua mpira, ana nguvu, hana uoga wa kutumbukiza mguu kama Chama, Chama kimguu chake anakilindi kama nini.



Waambieni ukweli wana Simba kuwa Chama hatunaye basi, yeye kwenda Yanga ameona kuna fursa mwacheni aende.