WAKATI maboresho ndani ya kikosi cha Simba yakiendelea inatajwa kwamba kuna hesabu za kuinasa saini ya mshambuliaji wa KMC, Wazir Junior ambaye ni kinara kwa wakali wakutupia eneo la ushambuliaji.
Ikumbukwe kwamba Wazir ndani ya KMC ni mabao 12 alitupia na katika hayo mawili aliwafunga Simba kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex langoni alianza mwamba Ayoub Lakred.
Inatajwa kuwa Simba inahitaji kupata mshambuliaji wa kazi ambaye atakuwa mzawa akishirikiana na wengine ambao watakuja kwenye dirisha la usajili ambalo lilifunguliwa Juni 15 2024. Anatosha Kurejesha Makali Ya Simba Msimu Ujao?
Ikumbukwe kwamba Wazir ndani ya KMC ni mabao 12 alitupia na katika hayo mawili aliwafunga Simba kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex langoni alianza mwamba Ayoub Lakred.
Inatajwa kuwa Simba inahitaji kupata mshambuliaji wa kazi ambaye atakuwa mzawa akishirikiana na wengine ambao watakuja kwenye dirisha la usajili ambalo lilifunguliwa Juni 15 2024. Anatosha Kurejesha Makali Ya Simba Msimu Ujao?