Yanga vs Namungo ilikuwa ni routine win kwa Yanga, Nabi aliswitch kutumia 4-2-3-1 kutoka 4-4-2 aliyotumia vs Ruvu Shooting na kuonekana haina impact.
Namungo walikuwa wanategemea zaidi Wingers wao , kuwaachia Yanga kukaa na mpira halafu wafanye mashambulizi ya kushtukiza, ila uimara wa backline ya Job,Djuma,Bangala na Kibwana ilikuwa tight sana na kuwazima.
Aziz Ki anazidi kukolea kwenye mfumo wa Nabi, Sasa Yanga inahitaji wingers wake waanze ku deliver 100% ili tuweze ku create chances nyingi zaidi
Namungo walikuwa wanategemea zaidi Wingers wao , kuwaachia Yanga kukaa na mpira halafu wafanye mashambulizi ya kushtukiza, ila uimara wa backline ya Job,Djuma,Bangala na Kibwana ilikuwa tight sana na kuwazima.
Aziz Ki anazidi kukolea kwenye mfumo wa Nabi, Sasa Yanga inahitaji wingers wake waanze ku deliver 100% ili tuweze ku create chances nyingi zaidi