Search results

  1. R

    Mchezaji Gani Imekuuma Sana Kukosekana Kwenye Kikosi Cha Msimu?

    Achana na huko kilicho niuma ni FEISAL KUKOSA TUZO MOJAWAPO KATI YA KIUNGO BORA au MVP wa NBC PREMIER LEAGUE daaaah
  2. R

    Ukipata Nafasi Ya Kuzungumza Na Kibu Denis Ungemwambia Nini?

    Hajui Kuna maisha baada ya kufeli majaribio huko acha ajikute ameyapatia maisha nipo pale hii ni Tanzania atasema tu mwenyew bila kuulizwa
  3. R

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 15/07/2024 Mechi Za 'Ubaya Ubwela'

    Both team to score(BTS) Ina maanisha timu zote kufunga au kupata mabao mfano Singida Black star 3:2 Pamba jiji
  4. R

    Hii Kauli Ya Mo DEWJI Anamaanisha Nini?

    Hiyo kauli ameitoa wapi mbona haionekani
  5. R

    Mkeka Wa Leo Over 1.5 Mechi 4

    E5XDQAC code hizo hapo betpawa
  6. R

    Wazir Jr Anafaa Sana Pale Simba Sc Kwa Washambuliaji Wazawa

    Anafaa nahisi atakuwa amejifunza ukienda kwenye timu kubwa inatakiwa uchezej maana alienda yanga akachemsha so Kwa wakati huu akienda Simba Wenda akaonyesha kitu alichonacho
  7. R

    Mkeka Wa Leo 17/06/2024 Odds Za Kibingwa

    Kweli hapo akitumia code ni rahisi kuzipata hizo zingne
  8. R

    Mkeka Wa Leo 17/06/2024 Odds Za Kibingwa

    Timu zingne hata hatuzijui ni ngumu kuzipata Ingekuoendeza uwe unatuma na code zake ombi lakniπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
  9. R

    Unataka VAR Vipi Kuhusu Miundombinu?

    VAR Hain maana Kwa saa hv maana hata miundombinu ya viwanja hairidhishi kuwa na VAR kikubwa wangeborasha viwanja kwanza japo wanasema mtu anaesaidia huwezi kumpangia kwahyo tuishi nayo TU kiroho mbaya πŸ™πŸ™
  10. R

    Usajili Simba Wanaanza Na Huyu Hapa

    Watusajilie wachezaji wa maana aloooh Simba ni furaha ya kila mtanzania anaependa mpira πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
  11. R

    Nukuu 2 Za Leo za MURTAZA MANGUNGU Baada Ya Kauli za Mo Dewji

    Kabisa anatuletea Michezo ya danganya toto alooooh atupishe tu huyo mzeee
  12. R

    Nukuu 2 Za Leo za MURTAZA MANGUNGU Baada Ya Kauli za Mo Dewji

    Hahaha mangungu bhana na yeye hatumtaki aondeke tu na siku zote hawawezi kubishan na Mo kwasababu hata ile transformation (mabadiliko) Bado hayaja kamilika ndo maana wanaona Mo kama anajichulia maamuzi
  13. R

    Zambia 0 Tanzania 1 Mchezaji Gani Amekuvutia Katika Mchezo Huu?

    Admin usilale mpaka tupate taarifa ya tajiri
  14. R

    Zambia 0 Tanzania 1 Mchezaji Gani Amekuvutia Katika Mchezo Huu?

    Ally Salim kafanya kazi nzuri. Mkumbe wameondoka na 110M za mama
  15. R

    Hizi Hapa Timu 16 Zitazokiwasha Kagame Cup 2024

    Simba bingwa alooooh Haina kupigwa hiyo