Watu wanaweza kuona matokeo hayo wakaona mechi sio nzuri, kwangu mimi mechi ni nzuri sana, japokuwa Korea wameshafungwa goli 4 kwa 0, bado nampa sifa kocha wao kwa kuamua ku-take risk kwa kuamua kucheza offensive game.
Hakutaka kuzuia, na alikuwa anafanya high defensive line, na timu...