Unaambiwa budget ya chini kabisa ya ujenzi wa kiwanja ni sio chini ya one billion up to two billion
Tukija kwenye suala la mapato na matumizi mfano ya Yanga mpaka msimu umeisha walitumia zaiidi ya 10B na ku gain chini ya 10B hiyo ni kumaanisha kuwa Team zetu bado kwanza zina struggle kwenye...