Search results

  1. Mlekwa Cylecky

    [ATTACH]

  2. Mlekwa Cylecky

    FULL TIME: FC AUGSBURG 2 YANGA SC 1 Mmeuonaje Mchezo Huu Wananchi Wa Kijiweni?

    Admin naomba ruhusa niende huko international date line nikawahishe masaa na siku ili tarehe 8 ifike, alaf ndo baadae tuje kuongea lugha moja, naomba ruhusa admin 😂😂
  3. Mlekwa Cylecky

    Wapinzani Wa Yanga Wazuiwa Kutumia Uwanja Wao Yanga Ishindwe Yenyewe Tu Kimataifa

    Hapa ni mwendo wa khamsa 🪬 tuu hatuna shida na mtu😂
  4. Mlekwa Cylecky

    Chama Anasajiliwa Yanga Kwa Ajili Ya Kuuza Jezi Na Kuongeza Tu Umaarufu Wa Brand Ya Yanga

    Tano zikijirudia tena wataanza kusema mbona hata chama alikua wetu kabisa mbona anafunga alafu anashangilia na haombi msamaaha😂😂
  5. Mlekwa Cylecky

    Chama Anasajiliwa Yanga Kwa Ajili Ya Kuuza Jezi Na Kuongeza Tu Umaarufu Wa Brand Ya Yanga

    Tano zikijirudia tena wataanza kusema mbona hata chama alikua wetu kabisa mbona anafunga alafu anashangilia na haombi msamaaha😂😂
  6. Mlekwa Cylecky

    Kijiwe cha Wekundu Wa Msimbazi

    Captain of all the time in Tanzania
  7. Mlekwa Cylecky

    Ukipata Nafasi Ya Kutoa Ushauri Mchezaji Nani Aachwe Kwenye Timu Unayoshabikia?

    Yaan bora sisi mashabaki ndo tuiache team then abaki huyo anaesema mashine ya kuongea bila action ndo abaki na wazee wao😔😔
  8. Mlekwa Cylecky

    Ukipata Nafasi Ya Kutoa Ushauri Mchezaji Nani Aachwe Kwenye Timu Unayoshabikia?

    Tutoke mashabiki alafu team tuiache kwa mashine ya kuingea bila action 😂
  9. Mlekwa Cylecky

    Shaffih Dauda vs Zaka Zakazi Nani Yuko Sahihi?

    Kama walijua mambo kama haya yatatokea wana simba kwanini hawakukaza ili wamalize hata nafasi ya kwanza, unajua simba ni kama Arsenal mtu ana nafasi alf akiipoteza kwa makosa ya mechi mbili anaanza kuombea njaa wenzie kitu ambacho kwa mabingwa ni aibuu. Alaf sasa hiv mpira umekua sana kwa...