Amn maajabu yoyote yale kama alishidwa msimu ulio pita japo alikuwa
Na wachezaji wazuri sasa na huuu vipi ataweza sas
Ni kwamba level ya man u bora watafute kocha mwingine two
Shida je awo vijana wataweza kukabiliana na timu kubwa
Maana so tatizo kuwachukuwa shida inahitajika wawe na
Expilance kubwa Sana maana mashidano kama shilikisho
Yanaitaji watu wazoefu kaka so kama awo watoto