Si sahihi Chama na Saido kuwaacha pamoja.....
Kama SAIDO kaondoka bhas Chama abaki, usajili n kamari kuna kuleta mchezaj mzur na akafel mfano mzur ata nje ya bongo n watu kama Coutinho, Hazard hawa watu walkuwa balaa lkn walipohama t walifeli
CHAMA kuondoka haitakuwa sahihi na wakimuacha...