Umelionaje Kundi Alilopangwa Simba? Una Maoni Gani Mwana Kijiweni?

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
344
473
25
Klabu ya soka ya Simba imepangwa kundi A ambapo itacheza na timu hizi hapa

Simba SC
CS SFAXIEN (Tunisia)
CS Constantine ( Algeria)
FC Bravos (Angola)

GZR97J6XUAEZfHW.jpg
 
Last edited:
  • Like
Reactions: Enck

Hamzaswai

Mgeni
Sep 18, 2024
1
1
5
Kundi lipo vizur kabisa apoo Simba hawana kisingizio cha kutoa emdapoo wakishindw kubeba taaji la shirikisho mwaka huu
 
  • Like
Reactions: Enck
May 22, 2024
12
7
5
Washindwe wap tu maana pale hakuna team ya kuwa challenge japo simba nao ni kama mbwa kichaa kile usichokitegemea ndo kinaweza kutokea😂😂
 
  • Like
Reactions: Enck