Waziri wa Nchi, Uchumi na Uwekezaji wa Zanzibar, Mudrick Soraga amesema watakutana na wadau wa fedha za mtandao ili kupata maoni kuhusu fedha hizo
Watakutana na wadau katika wiki ya tatu ya mwezi huu, ili kujua kama kuna haja ya kutumia cryptocurrency kwenye miamala
Rais wa Tanzania, Samia...