Search results

  1. Mkwavinyika

    Gameweek 1

    https://www.kijiweni.co.tz/jifunze-kuhusu-fantasy-premier-league-hapa/
  2. Mkwavinyika

    Gameweek 1

    https://www.kijiweni.co.tz/jifunze-kuhusu-fantasy-premier-league-hapa/
  3. Mkwavinyika

    NIMEISHUHUDIA BAHASHA LIVE

    Uko na kapicha tuone?
  4. Mkwavinyika

    USAJILI.

    okay
  5. Mkwavinyika

    Unatumia kampuni gani kubeti?

    Pitia hapa > https://nipo.kijiweni.co.tz/forums/ubashiri-na-mikeka.4/
  6. Mkwavinyika

    Bank of Tanzania: Viwango vya Kubadilisha fedha

    Bank of Tanzania (BoT) Indicative Exchange Rates for Thursday, 30th December 2021.
  7. Mkwavinyika

    Bank of Tanzania: Viwango vya Kubadilisha fedha

    27 Disemba 2021 AED 622.5093 628.5803 625.5448 27-Dec-21 ATS 146.7072 148.0072 147.3572 27-Dec-21 AUD 1653.6285 1670.8575 1662.243 27-Dec-21 BEF 50.0433 50.4863 50.2648 27-Dec-21 BIF 2.1889 2.2054 2.1972 27-Dec-21 CAD 1784.3032 1801.5838 1792.9435 27-Dec-21 CHF 2488.005 2511.7916...
  8. Mkwavinyika

    Geita Gold FC walamba milioni 500

    Jamaa wako vizuri, nimeona pia inaendelea na ujenzi wa uwanja wao wenye uwezo wa kubeba mashabiki 12,000. Kampuni ya Geita Gold imetoa Tsh 2.4bn za ujenzi kama awamu ya kwanza
  9. Mkwavinyika

    Simba Sports Club Thread

    Simba yatua mkoani Tabora kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya KMC.
  10. Mkwavinyika

    Bank of Tanzania: Viwango vya Kubadilisha fedha

    22 Disemba 2021 Sarafu Kununua Kuuza Wastani Tarehe ya biashara AED 622.519 628.573 625.546 22-Dec-21 ATS 146.7016 148.0014 147.3515 22-Dec-21 AUD 1630.4741 1647.2406 1638.8573 22-Dec-21 BEF 50.0413 50.4843 50.2628 22-Dec-21 BIF 2.1889 2.2053 2.1971 22-Dec-21 BWP 194.5504...
  11. Mkwavinyika

    Tanzania ingenunua Bitcoin za milioni 200 mwaka 2011 leo tungekua mbali

    Hesabu hazidanganyi.. Mwaka 2011 bei ya Bitcoin ilikua around 1usd per coin. Sasa tuchukulie nchi ya Tz ingetoa walau 200mil na kununua bitcoin (badala ya kumnunulia DED au DC v8 la kutembelea).. 200mil ni sawa na 86,956 usd (tuchukulie 1usd ni 2,300 Tsh). Kwa bei ya 1usd per bitcoin maana...
  12. Mkwavinyika

    Zanzibar yatafuta maoni ya wadau kuhusu cryptocurrency

    Waziri wa Nchi, Uchumi na Uwekezaji wa Zanzibar, Mudrick Soraga amesema watakutana na wadau wa fedha za mtandao ili kupata maoni kuhusu fedha hizo Watakutana na wadau katika wiki ya tatu ya mwezi huu, ili kujua kama kuna haja ya kutumia cryptocurrency kwenye miamala Rais wa Tanzania, Samia...
  13. Mkwavinyika

    Simba Sports Club Thread

    Uzi Maalumu wa Wekundu wa Msimbazi.
  14. Mkwavinyika

    Mechi za Leo

    =AZWznzXj4kwCbKAUSLdINuLpJ5GafuOIh63ovqB6KLNBUzKjruJpyMLKCOXW65j2jBd9Tw3w0O5TELFPcp8-4Lm3yCs7HahtEOWbp--8DVlfRPf_DCtHXokneUJZWgS77MglvK5Vx1Ie1OjYgCuD6l9s&__tn__=*NK-R']#AzamSportsFederationCup Jumatano, Disemba 15, 2021 16:00 Maskani Fc vs Rhino Rangers 16:00 Sumbawanga Utd vs Sharp Striker...
  15. Mkwavinyika

    Arsenal Thread

    Baada ya kuzuka kwa taarifa kuwa wachezaji wa Arsenal Tomiyasu (23) na Ben White (24) hawapeani pasi mara kwa mara licha ya kucheza katika nafasi jirani, Tomiyasu amelitolea ufafanuzi suala hilo "Ni kwa sababu Ben White ni mchezaji mzuri. Mara nyingi, pasi kutoka kwa beki wa kati kwenda kwa...
  16. Mkwavinyika

    MTIBWA SUGAR YAMTUPIA VIRAGO KOCHA OMOG

    KOCHA ya Mtibwa Sugar imetangaza kuachana na kocha Mcameroon, Joseph Marius Omog baada ya miezi miwili tu tangu aajiriwe. Hili limekaaje wana Kijiwe?
  17. Mkwavinyika

    Hili la Vunjabei Mdhamini wa Simba kuwamwagia manoti Prisons limekaaje?

    Wana Kijiwe Klabu ya soka ya Tanzania Prisons imeingia mkataba wa kuzalisha vifaa vya michezo na Kampuni ya Vunjabei wenye thamani ya Sh60 milioni. Mkataba huo uliosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Fredy Ngajiro (Vunjabei) na Kaimu Kamishna wa utawala na usimamizi wa rasilimali...
  18. Mkwavinyika

    Mayele aibua jambo Yanga

    MJADALA mkubwa wa mechi ya Simba na Yanga iliyomalizika kwa suluhu kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumamosi iliyopita umeendelea kuwa ni ile bato ya straika Fiston Mayele na mabeki Joash Onyango na Henock Inonga na sasa straika huyo kazungumza kitu. Mashabiki wengi wanazungumzia kuhusu Inonga...