Robert Lewandowski (33) anahitaji mkataba wa miaka mitatu na mshahara wa €8m kwa mwaka ili aweze kujiunga na Fc Barcelona ifikapo mwishoni mwa msimu huu.
Imeelezwa kuwa Nyota huyo ambaye mkataba wake na Bayern unamalizika mwakani 2023, amefikia hatua nzuri ya mazungumzo na Wawakilishi wa Barça...