Search results

  1. MR. VIP

    FT :Yanga 2 Red Arrows 1 : Umeuonaje Mchezo Wa Leo? Mchezaji Gani Amekuvutia?

    Upo sahihi aliepanga ratiba kama hakuingiliwa na msemaji badi aliboronga sana kwenye ratiba.. Tamasha kama tumetoka kwenye ukumbi wa harusi saa sita kasoro na usafiri tizi kinoma au ndo kuingia gharama za kuita uba na boda za 25000 kufika Mwenge?
  2. MR. VIP

    FT :Yanga 2 Red Arrows 1 : Umeuonaje Mchezo Wa Leo? Mchezaji Gani Amekuvutia?

    Kama kwa mabadiliko ya timu nzima na spiriti ikashuka mpaka red card basi lazima tujitafakari sana kwenye michezo ijayo hasa klabu bingwa na baadhi ya ligi kuu. South Africa ni kama tulicheza na timu za daraja la chini kuondoa ile timu ya ujerumani FCA. Ndio maana ni kama tulilewa sifa kuwa...
  3. MR. VIP

    Ukipata Nafasi Ya Kuzungumza Na Kibu Denis Ungemwambia Nini?

    Ikiwa ni sahihi kwa kibu kichwani mwake basi mpira wake umefika mwisho anatafuta pa kutolea lawama tu. Alimaliza mkataba akadengua akatongozwa akakubali kwa nini atoroke? Si ni bora angekataa kuongeza mkataba leo angekuwa free bila kinyongo na wadau? Hata cheza mpira kwa mgogoro huu ukijumlisha...
  4. MR. VIP

    Je, Baleke Aliihujumu Simba? Wachezaji Wa KiCongo Siyo Waaminifu

    Bhatu bha mkorogo sio wa kuwaamini kabisa.
  5. MR. VIP

    Dube na ndoa ya Wananchi

    Muda utaongea
  6. MR. VIP

    Sema kuna namna flani sahiv matapeli wamepungua eenh? au wamevumbua njia mpya??

    Wapo wengi na humu kijiweni wanatucheki tu tunavyo wajadili
  7. MR. VIP

    Yanga Wamejaza Washambuliaji Wengi Kuliko Wakabaji

    Upo sahihi hata simba yalimkuta haya Kipato uleta majisifu
  8. MR. VIP

    Chama Atamfukuzisha Kazi Gamondi Yanga

    Wao wanasema hawasumbuki watamfukuza oooohhooo
  9. MR. VIP

    TFF Pamoja Na Viongozi Wa Klabu Za Simba Na Yanga Mjitafakari. Mpira Hauna Siasa, Dini, Rangi Wala Kabila!

    Mwamba unaandika speed uelezi hoja yako kwani woote tulikuwa na wewe huko uwanja wa taifa??. Eleza kisa ili wenggi wajue na kufatilia na kusaidia katika kuchangia mada hii inayoonekana nzuri isipokuwa mwandishi kaiandika akiwa anakimbizwa
  10. MR. VIP

    Dube na ndoa ya Wananchi

    Mwamba kachemka Uchezaji na falsafa ya hii timu tofauti na alikotoka. Yupo wapi skudu aliecheza huko kwao mechi nyingi mchezaji mzuri kaja kwetu kawa garasa!!! Huku majeruhi usipate uwe kama mayele au KI AZIZ hapo utashainiii
  11. MR. VIP

    Nawakumbusha Tuliwahi Kumsajili Beki Mmoja Akiitwa Mohamed Ouattara Lakini Tukaishia Kumtukana, Tusubiri Uwanjani Ndio Tuwasifie

    Umegeuka mtabiri maana mpaka na faulo umeshaziona Asante kwa kututahadharisha na kutupa udhaifu wake kolo wajiandae kula 5 kwenye ngao ya JAMII
  12. MR. VIP

    FEITOTO Kwenda Simba Inawezekana Au Ni Stori Za Kupunguza Maumivu Ya CHAMA?

    Mashindano hayo sio tatizo Ingekuwa hivyo wachezaji wangehama woote kwenda vilabu vinavyoshiriki club bingwa pekee.
  13. MR. VIP

    FEITOTO Kwenda Simba Inawezekana Au Ni Stori Za Kupunguza Maumivu Ya CHAMA?

    Hakuna kisichoshindikana kama yanga waligoma namwishoe wakamwachia ije kuwa Azam? Isipokuwa ninachokiona simba hawako seriously kumsajiri ni porojo tu.
  14. MR. VIP

    Seleman Matola Kuwa Tena Sehemu Ya Benchi La Ufundi La Simba Ni Kwamba Timu Ipo Palepale

    Mzee wa majungu huyo inatubidi tujue nani mwajiri wake A) Mangungu B) Try again
  15. MR. VIP

    Seleman Matola Kuwa Tena Sehemu Ya Benchi La Ufundi La Simba Ni Kwamba Timu Ipo Palepale

    Nitachangia kama ulivyosema lkn ninadhani kubaki kwa matora kunaweza kuwa ni uzoefu wake katika timu kwa ajili ya kumpookea na kumfanya kocha mpya asiwe kama kwenye kisiwa kisicho na watu bali awe mwenyeji wake katika timu.
  16. MR. VIP

    Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba kuhusu Clatous Chota Chama

    Hakuna mchezaji wa kudumu hiyo sio klabu ya familia. Mchezi huja na kuondoka.. Chama asipoenda timu nyingine ipo siku atastaafu na hato cheza mpira... Hii inamaana kinachouma wanasimba sio kuondoka kwa chama ila ni chama kusemekana anaenda yanga.. Ikiwa ni hivyo basi uongozi wa simba usifanye...