Huyu Christiano Lionel Ateba hakai SSC muda mrefu,,,tutakuja kumwona kwenye ligi kubwa duniani I.e EPL, LaLIA, BUNDESLIGA, SERIE A, LEAGUE 1 and the like,,,kama wataweka focus na vision, consistency, tolerance.
Kiujumla refa aliharibu lashβs ya mchezo. Katunyima goli la wazi kbs la Ateba, Prnalti na rafu mbaya alochezewa mchezaji wa Simba SC but mnyama kaonesha ukomavu wake na kuprove wrong kila mtu. Bravo π¦π¦πππβ€οΈβ€οΈ